𝐂𝐇𝐄𝐓𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐖𝐀𝐙𝐈𝐑𝐈 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐁𝐀𝐑𝐈 𝐒𝐓𝐉𝐎𝐒𝐎 2𝐎25/26
Na, Thadeo Gelema Katika hafla ya uapisho iliyofanyika Jumatatu, Aprili 13, 2026 chuoni hapo, viongozi mbalimbali walitunukiwa vyeti vya heshima kutokana na mchango wao katika uongozi na maendeleo ya wanafunzi. Miongoni mwa waliotunukiwa heshima hiyo ni Thadeo Gelema, aliyekuwa Waziri wa Habari STJOSO 2025/26, akitambuliwa kwa juhudi zake katika kukuza sekta ya habari ndani ya chuo hicho. Tuzo hiyo imeibua mjadala miongoni mwa wanafunzi na wadau wa habari, wakijiuliza iwapo hii ni ishara ya mwanzo mpya wa kuimarika kwa Thadeo haswa katika masuala ya habari 📲 Endelea kufuatilia na soma zaidi 👇👇 @thadeomedia5.blogspot.com