Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei, 2026

MAGAZETI YA LEO JUMANNE MEI 26,2026

Picha
Magazeti

𝐁𝐈. 𝐒𝐔𝐙𝐀𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐆𝐔𝐅𝐔𝐋𝐈 𝐀𝐅𝐀𝐑𝐈𝐊𝐈 𝐃𝐔𝐍𝐈𝐀

Picha
Na, Thadeo Gelema  Mama Mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, Suzana Magufuli amefariki dunia leo Mei 25, 2026, Chato Mkoani Geita baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kwa mujibu wa @AyoTV Akizungumza kwa njia ya simu, Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amethibitisha kutokea kwa msiba huo akieleza kuwa Bibi Suzana amefariki saa 1 usiku Nyumbani kwake Chato. “Bibi yetu (Suzana Mussa) amefariki saa moja nyumbani kwake Chato baada ya kuugua kwa muda mrefu, taratibu za msiba familia itawajulisha, Bwana ametoa na Bwana ametwaa” Jesca.

MAGAZETI YA LEO JUMATATU MEI 25,2026

Picha
Magazeti