𝐖𝐀𝐋𝐈𝐎 𝐌𝐂𝐇𝐎𝐊𝐀 𝐌𝐁𝐀𝐏𝐏É! 𝐙𝐀𝐈𝐃𝐈 𝐘𝐀 𝐌𝐈𝐋𝐈𝐎𝐍𝐈 30



Wimbi la mashabiki wanaotaka nyota wa Real Madrid, Kylian Mbappé, kuondolewa ndani ya klabu hiyo limeendelea kuongezeka, huku zaidi ya watu milioni 30 wakidaiwa kusaini ombi hilo mtandaoni.

Hatua hiyo imekuja kufuatia matokeo yasiyoridhisha ya hivi karibuni ya Real Madrid, ambapo taarifa zinaeleza kuwa timu hiyo imepata ushindi mmoja pekee katika mechi sita za mwisho alizocheza Mbappé.

Aidha, baadhi ya wachambuzi wa soka wamebainisha kuwa Madrid imeonekana kufanya vizuri zaidi katika baadhi ya michezo ambayo mshambuliaji huyo hakuhusika.

Hata hivyo, mjadala mkubwa umeendelea mtandaoni huku wadau wengine wakidai kuwa sehemu ya waliosaini ombi hilo huenda si mashabiki halisi wa Madrid, bali ni watu kutoka nje wanaochochea mjadala huo.


👉 Soma zaidi: @thadeomedia5.blogspot.com

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆 𝐍𝐄𝐖𝐒: 𝐌𝐇𝐄. 𝐃𝐊𝐓. 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐌𝐄𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐔𝐓𝐄𝐔𝐙𝐈

BREAKING: RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI MBALIMBALI

𝐓𝐀𝐇𝐀𝐃𝐇𝐀𝐑𝐈: 𝐏𝐎𝐋𝐈𝐒𝐈 𝐖𝐀𝐊𝐀𝐍𝐔𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐕𝐔𝐌𝐈 𝐌𝐖𝐀𝐍𝐀𝐅𝐔𝐍𝐙𝐈 𝐔𝐃𝐎𝐌 𝐊𝐔𝐖𝐀𝐖𝐀