𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆 𝐍𝐄𝐖𝐒: 𝐌𝐇𝐄. 𝐃𝐊𝐓. 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐌𝐄𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐔𝐓𝐄𝐔𝐙𝐈
Na, Thadeo Gelema Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Mei 20, 2026 na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, walioteuliwa ni: Mhe. Abdi Shaaban Kagomba (Kutoka Kanda ya Dodoma) Mhe. Yohane Bokobora Masara (Kutoka Kanda ya Arusha) Mhe. Immaculata Kajetan Banzi (Kutoka Kanda ya Kagera) Mhe. Rabia Hussein Mohamed (Kutoka Mahakama Kuu ya Zanzibar) Mhe. Cyprian Phocas Mkeha (Kutoka Divisheni ya Biashara, DSM) Mhe. Yose Joseph Mlyambina (Kutoka Divisheni ya Kazi, DSM) kwa ujumla, uapisho wa Majaji hao wateule utafanyika kwa tarehe itakayopangwa baadaye.















Maoni
Chapisha Maoni