Machapisho

Magazeti

Picha
Dondoo Kubwa Kutoka Kurasa za Magazeti ya Septemba 22, 2025

Magazeti

Picha
 Dondoo Kubwa Kutoka Kurasa za Magazeti ya Septemba 21, 2025                    

Magazeti

Picha
Dondoo Kubwa Kutoka Kurasa za Magazeti ya Septemba 20, 2025 Share this Article Facebo

Michezo

Picha
Vilabu vinne vya Tanzania Kesho Kuanza Safari ya Kimataifa CAF   Na Thadeo Gelema Septemba 18, 2025 Vilabu vinne vikubwa vya Tanzania – Yanga SC, Simba SC, Azam FC na Singida Black Stars – vipo tayari kwa mapambano ya kimataifa katika michuano ya CAF Champions League na CAF Confederation Cup wikiendi hii, ambapo mchezo wa kwanza utaanza kesho Ijumaa, Septemba 19, 2025 . Yanga SC vs Wiliete SC (Angola) Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC, wataanza safari yao kwa kuvaana na Wiliete SC ya Angola kesho Ijumaa, Septemba 19, saa 12:00 jioni kwenye Uwanja wa Estádio 11 de Novembro huko Benguela. Marudiano yatapigwa Dar es Salaam, Septemba 26, 2025. Azam FC vs El Merrikh SC (Sudan) Katika michuano ya CAF Confederation Cup, Azam FC nao wataanza kesho Ijumaa, Septemba 19, saa 12:00 jioni , dhidi ya El Merrikh SC ya Sudan kwenye Uwanja wa Juba National Stadium , Sudan Kusini. Marudiano yatafanyika Dar es Salaam, Septemba 26, 2025. Singida Black Stars vs Rayon Sports (Rwand...

Michezo

Picha
  Leo  UEFA  Champions League: Mechi Mechi kubwa za  Alhamisi, Septemba 18, 2025 Septemba 18, 2025 – Mashabiki wa soka la barani Ulaya wanatarajia usiku wa kufurahisha katika hatua ya makundi ya  UEFA Champions League , ambapo mechi za kuvutia zitaendelea kuchezwa.  Mechi za Leo na Ratiba Club Brugge vs Monaco  16:45 GMT (18:45 EAT)  Uwanja wa Jan Breydel, Bruges Copenhagen vs Bayer Leverkusen 16:45 GMT (18:45 EAT)  Uwanja wa Parken, Copenhagen Eintracht Frankfurt vs Galatasaray  19:00 CET (20:00 EAT)  Uwanja wa Deutsche Bank Park, Frankfurt Manchester City vs Napoli  19:00 CET (20:00 EAT)  Uwanja wa Etihad, Manchester Newcastle United vs FC Barcelona  19:00 CET (20:00 EAT)  Uwanja wa St. James' Park, Newcastle  Barcelona imetangaza kikosi chenye nyota  Frenkie de Jong  na  Robert Lewandowski , huku wengine wakirudisha nguvu kwenye ushindi wa timu yao. Sporting CP vs Kairat Almaty  1...